Tafuta

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mkundi Sheli, Morogoro

 media -1
media -1
Mkundi, Morogoro
2 months ago
Sh. 15,000,000

Maelezo

NYUMBA INAUZWA MKUNDI SHELI, MOROGORO MJINI

𝐁𝐄𝐈 : MILLION.15 TU

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo la Mkundi Sheli, upande wa kushoto ukitokea Msamvu kuelekea Dodoma Road.

✅ Vyumba 2 vya kulala
✅ Sebule na huduma muhimu
✅ Boma pembeni lenye room 2 tayari kwa kuendelezwa
✅ Eneo la kuweka uzio limebakia
✅ Umeme na maji vinapatikana kwa uhakika
✅ Nyaraka halali za umiliki kutoka Serikali za Mitaa
✅ Mazingira mazuri na salama kwa makazi

𝐍𝐁: Site visit fees 30,000/=

Kwa mawasiliano na kupanga kutembelea eneo
: 📞 0678 517 158 /📞 0785 517 158

Usikose nafasi hii ya kupata nyumba kwa bei nafuu ndani ya Manispaa ya Morogoro!.

Matangazo mengine Mkundi, Morogoro