Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Segerea Mwisho, Viwanja vya Benki, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨ ENEO LENYE NYUMBA LINAUZWA – SEGEREA MWISHO, VIWANJA VYA BENKI ✨🏡
📍 Location: Segerea Mwisho, Viwanja vya Benki – Dar es Salaam
📐 Ukubwa wa eneo: Sqm 900
💰 Bei: Mil 65
🛣️ Dakika 10 tu kutoka barabara ya lami
🌟 Eneo ni tambarare kabisa na linafikika vizuri.
🏠 Ndani kuna nyumba yenye:
🛏️ Vyumba 2 vya kulala
🛏️ Kimoja Master
🛋️ Sebule
🍽️ Jikoni
🚿 Choo cha Public
✅ Inafaa kwa makazi baada ya ukarabati mdogo
✅ Unaweza kubomoa na kujenga project yako mpya
✅ Nzuri kwa nyumba za biashara au apartments
✅ Eneo lina potential kubwa ya kuingiza kipato
💧 Huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana kwa urahisi.
📄 Nyaraka: Sales Agreement
🔥 Service Charge / Gharama ya huduma: 30,000/=
Karibu mteja tufanye biashara 🤝
📞 Muhitaji piga: +255688412890
Dalali wako Wakishua ✨







