Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Tabata Segerea Sheli Oil Com, Dar Es Salaam (250 sqm)

video thumbnail
Sh. 35,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

2

Ukubwa

250 SQM

Barabara ya Karibu

5minute

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Uzio

Maelezo

🏡 ENEO LENYE NYUMBA INAUZWA – TABATA SEGEREA SHELI OIL COM🏡

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba kwenye eneo zuri la Tabata Segerea Sheli Oil Com ✨
📍 Takribani dakika 5 tu kutoka barabara kuu
🛣️ Barabara inafikika bila shida
🚗 Eneo zuri na rahisi kufika

🏠 Nyumba ina:
🛏️ Vyumba 2 vya kulala
🛋️ Sebule
🍳 Jiko
💧 Maji yapo
💡 Umeme tayari

📐 Ukubwa wa eneo: Sqm 250
🧱 Tayari kuna fence pande 2, zimebaki pande 2 kumalizia

💰 Bei: Tsh 35,000,000/=

💼 Fursa nzuri kwa:
✅ Makazi binafsi
✅ Kununua na kukarabati kisha kupangisha
✅ Uwekezaji wa muda mrefu

🔥 Bonus ya Uwekezaji:
Unaweza kubomoa na kujenga master, sebule na jiko za biashara na ukapangisha kwa Tsh 400,000/= kwa mwezi bila changamoto, hivyo ni eneo lenye uwezo mkubwa wa kurudisha mtaji haraka.

📞 Mhitaji piga simu: +255688412890
✨ Dalali wako Wakishua
Karibu tufanye biashara