Ofisi inapangishwa Kariakoo Msimbazi, Dar Es Salaam

Kariakoo, Dar Es Salaam
14 hours ago
$ 6,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
CLASSIC OFFICE FOR RENT:
Jengo ni jipya kabisa
Inafaa kwa makampuni ya BENKI,Mitandao ya Simu,tahasisi mbali mbali na makampuni mbali mbali
Inaangalia barabara
Full fen and A/C
Iko vizuri sana usalama wa kutosha
Kodi ni dollar 6000 per month
Malipo ni mwaka
Location KARIAKOO MSIMBAZI/
0712265331 call/whatsap
Call me MR JAMBALAGA aka SENIOR






