Kiwanja kinauzwa Mkuranga, Pwani

video thumbnail
Sh. 30,000

Maelezo

Eneo linauzwa limepakana na ZIWA MANSI LINAOPATIKANA MKURANGA MWARUSEMBE…

Ukubwa wa eneo ni heka 2 na kila heka inauzwa 15m jumla eneo linahitaji Tsh 30,000,000

Eneo lipo km 1.5 kutoka lami

Linafaa kwa ajili ya ujenzi wa BNB AU VACATION HOMES

Eneo salama halina mamba

ziwa hili lina samaki

Pametulia na panafaa kwajili ya kuwekeza

Utaratibu wa site visit piga simu 0785367831
Whatsapp 0769355987

Gharama ya site visit ni Tsh 30,000