Kiwanja kinauzwa Tabata, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 90,000,000

Maelezo

🏡 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA (V/Benki)

📐 Sqm 800
📄 Hati ipo
💰 Bei: Milioni 90

✨ Mtaa mzuri na pamejengeka sana
🏠 Panafaa kwa makazi binafsi (dream house)
🏢 Pia pafaa kwa ujenzi wa apartments
🚗 Panafikika kirahisi

💼 Service charge: 30,000/=
🤝 Udalali: 10%

📞 Wasiliana: +255 688 412 890
📲 dalaliwakishua

🌟 Miliki Kesho Yako Leo! 🌟