Kiwanja kinauzwa Geza, Kigamboni, Dar Es Salaam acre 1.5

Maelezo
š„ ENE0 KUBWA LA UWEKEZAJI LINAUZWA ā GEZA, KIGAMBONI DAR ES SALAAM š„
š Location: Geza, Kigamboni ā Dar es Salaam
š Ukubwa: Hekta 1.5
š Limepimwa na lina hati safi
š§ Limezungushiwa fensi tayari
ā
Eneo hili linagusa barabara mbili kubwa za mita 30
ā
Mita 200 tu kutoka barabara ya lami
ā
Mazingira mazuri sana na mtaa umetulia
ā
Barabara zinafikika kipindi chote cha mwaka hata wakati wa mvua
š Umbali:
* Kilomita 13 mpaka Ferry
* Kilomita 12 mpaka Darajani
* Mita 200 mpaka barabara ya lami
š¼ Eneo linafaa kwa:
šØ Hotel
š« Shule
š„ Hospitali
š Godown
š Yard
š¢ Apartment & projects nyingine kubwa za uwekezaji
š° Bei: TZS Milioni 480
š¤ Mazungumzo yapo kidogo sana kwa mnunuzi serious
š Service Charge: TZS 30,000 kwa ajili ya site visit
š Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni uwekezaji viwanjavinauzwa dar_es_salaam















