Kiwanja kinauzwa Goba Tegeta A, Dar Es Salaam sqm 502

Ukubwa
502 SQM
Barabara ya Karibu
100m
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA KINAUZWA GOBA NJIA 4, ( TEGETA A) Mita 100 kutoka barabara inayojengwa lami, Tambalale kabisa Maji na umeme vipo, Kimepimwa tayari, Huduma za kijamii zipo site, kama umeme na maji dawasa, Ukubwa SQM 502, bei 42m, mazungumzo yapo MBIO ZAKO NDO ZITAFANYA UOKOTE HAPA, Tembelea @dalali_amani_kimara Service charge 30,000/= Contact: 0654 101710 0787 205300















