Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam sqm 1200

video thumbnail
Sh. 220,000,000

Ukubwa

1200 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara ya Lami
Ardhi Tambarare

Maelezo

🏑✨ KIWANJA KINAUZWA – KINYEREZI KIBAGA ✨🏑

πŸ“ Location: Kinyerezi Kibaga – Dar es Salaam
πŸš— Ni cha tatu kutoka barabara ya lami
πŸ›£οΈ Barabara nzuri na panafikika bila shida kipindi chote

πŸ“ Ukubwa: Sqm 1,200
πŸ“„ Hati Miliki ya Wizara ya Ardhi
πŸ’° Bei: Milioni 220

βœ… Eneo tambarare kabisa
βœ… Neighborhood imetulia sana
βœ… Watu wamejenga nyumba za kisasa
βœ… Mazingira safi na ya kifahari

πŸ”₯ Hiki ni kiwanja bora kwa:
β€’ Ujenzi wa ghorofa
β€’ Apartments za kisasa
β€’ Villas
β€’ Uwekezaji wa muda mrefu

πŸ’΅ Apartments za vyumba viwili eneo hili zinaweza kuanzia kodi ya milioni 1+ kulingana na finishing utakayoweka.

Kama ulikuwa unatafuta sehemu ya kujenga project ya maana au makazi ya kifahari β€” hapa ndio mahala pake. Karibu tajiri ujenge future yako kwenye location yenye thamani kubwa na ukuaji wa haraka. ✨

πŸ’Ό Service Charge / Gharama ya Huduma: 50,000/=

πŸ“ž Muhitaji piga: +255688412890
Dalali wako Wakishua
β€œMiliki Kesho Yako Leo!”

#daressalaam #viwanja

Matangazo yanayofanana Kinyerezi, Dar Es Salaam