Kiwanja kinauzwa Kisota, Dar Es Salaam sqm 1200
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 KIWANJA KIZURI KINAUZWA – KIGAMBONI, KISOTA 🏡
Unatafuta kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi na lenye miundombinu mizuri? Hiki ndicho chaguo sahihi!
📍 Mahali: Kigamboni – Kisota
✅ Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
✅ Ukubwa: SQM 1,200
✅ Corner Plot – kina nafasi nzuri kwa makazi au uwekezaji
✅ Mita 300 tu kutoka barabara ya lami
✅ Kilomita 6 kutoka Feri
✅ Kilomita 6.5 kutoka Daraja la Nyerere
✅ Kipo kwenye eneo zuri na lenye maendeleo makubwa
💰 Bei: TZS 125,000,000 (Milioni 125)
🤝 Maongezi kidogo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
📞
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingpage















