Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam sqm 700
Ukubwa
700 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA KINAUZWA – TABATA BONYOKWA
Unatafuta kiwanja katika eneo bora kwa makazi au uwekezaji? Hiki ndicho fursa unayoisubiri!
📍 Eneo: Tabata Bonyokwa
📐 Ukubwa: Sqm 700
💰 Bei: TSh Milioni 85 (Inajadiliwa)
📄 Hati: Hati Miliki ya Wizara
Sifa za kiwanja:
✅ Kipo katika neighborhood nzuri sana.
✅ Kinapakana na barabara kubwa ya mtaa inayopitika muda wote.
✅ Hakina mto, bonde wala korongo.
✅ Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi binafsi.
✅ Pia ni bora kwa uwekezaji wa apartments au nyumba za biashara kutokana na eneo lake zuri.
Karibu uwekeze leo na ujenge kesho yako kwa uhakika.
📞 Muhitaji piga: +255 688 412 890
💼 Service Charge: TSh 30,000/=















