Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam sqm 225

Ukubwa
225 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก KIWANJA KINAUZWA โTABATA KINYEREZI MWISHO MUHANGA ๐ก
๐ฐ BEI: MILIONI 13 TU
๐ Ukubwa: MITA 15 KWA 15 MITA
โ
Kiwanja ni tambarare kabisa.
โ
Kiwanja kipo mtaa mnzuri sana kumejengeka
โ
Kinapatikana kwa urahisi bila changamoto.
โ
Kipo katika neighbourhood nzuri na tulivu, inayofaa kwa makazi binafsi au uwekezaji.
๐ Umiliki wake ni Sales Agreement.
Hii ni fursa nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.
๐ Muhitaji piga: +255 787 205 300
๐ต Gharama ya huduma (Service Charge): 30,000/=
Karibu Tajiri!
Miliki Kesho Yako Leo!!! ๐๐ก















