Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Sanene, Dar Es Salaam sqm 500

Sh. 18,000,000

Ukubwa

500 SQM

Barabara ya Karibu

1km

Maelezo

🏑 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SANENE 🏑

Unatafuta eneo zuri la uwekezaji? Hiki ndicho chaguo sahihi!

πŸ“ Eneo: Tabata Sanene
πŸ“ Ukubwa: Sqm 500
πŸ›£οΈ Umbali: Takribani kilomita 1 kutoka kituoni, gari linafika hadi kwenye kiwanja bila shida.
πŸ’° Bei: TSh 18,000,000 (Fixed)
πŸ“„ Umiliki: Sales Agreement

βœ… Kinafaa kwa ujenzi wa:

* Apartments
* Nyumba za biashara
* Vyumba vya kupanga (master, master na sebule, au master sebule na jiko) kwa ajili ya mapato ya kodi.

Usikose fursa hii ya kuwekeza katika eneo linalokua kwa kasi.

πŸ“ž Wahi sasa, wasiliana nasi!
πŸ’΅ Service Charge: TSh 30,000

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!