Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea Mwisho, Dar Es Salaam sqm 1500

video thumbnail
Sh. 150,000,000

Ukubwa

1500 SQM

Huduma na Sifa

Ardhi Tambarare
Ardhi Iliyopimwa
Karibu na Stendi ya Mabasi
Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Barabara

Maelezo

🔥 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA MWISHO (VIWANJA VYA BENKI) 🔥

Karibu tajiri, hapa kuna kiwanja kizuri sana cha uwekezaji kinauzwa Tabata Segerea Mwisho – Viwanja vya Benki.

📍 Location: Tabata Segerea Mwisho – Viwanja vya Benki
📏 Ukubwa: Square Meter 1,500
📄 Hali ya Kiwanja: Kimepimwa
🌍 Mandhari: Tambarare kabisa – hakina bonde, mwinuko wala mto

🚗 Ufikaji:
• Ni chache tu kutoka barabara ya lami
• Takribani dakika 5 kutoka stendi ya Segerea Mwisho

💼 Matumizi ya Kiwanja:
Eneo hili ni zuri sana kwa uwekezaji kama:
• Kujenga apartments za kupangisha
• Villas za kisasa
• Guest house au lodge
• Nyumba za ibada
• Au makazi binafsi yenye space kubwa na ya kutosha

Ni sehemu nzuri na inayokua kwa kasi, uwekezaji wako unaweza kukuletea faida kubwa sana siku zijazo.

💰 Bei: Milioni 150 (mazungumzo yapo kidogo)

📞 Kwa mawasiliano:
Piga au WhatsApp: +255 688 412 890

Karibu sana ndugu mteja – tufanye biashara!