Kiwanja kinauzwa Ubungo Makoka, Dar Es Salaam sqm 500

Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Maelezo
Kiwanja kzr sanaa kikubwa mkeka kabisa akuna kuchimba hapo
Bei Milioni 37 ( maongezi )
Kiwanja kinaukubwa wa Sqmt 500
Kiwanja kinafaa kujenga apartments za biashara au makazi binafsi
Kiwanja kipo ubungo makoka km2 usafiri bajaji 700 kutoka Ubungo river said
Kiwanja kinadocoument halali za mauziano kutoka serikali za mtaa
Kwa maelezo zaidi piga :-
0712528820
0685221354
Mr.















