Viwanja vinauzwa Pongwe, Tanga

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 2,500,000

Maelezo

VIWANJA VIWILI VYA M 2 NA LAKI 5 VINAUZWA PONGWE YA UROA
#unguja #zanzibar

Vipo Viwanja 7 kwa sasa

Umbali kutoka Viwanja Vilipo mpaka Beach/Pwani Mita 600

Umbali kutoka kiwanja vilipo mpaka Barabarani Mita 500

Viwanja vipo baada ya barabara ya ndani

Ukubwa wa kiwanja kimoja Ft 52x50

Idadi ya Viwanja vilivyopo 7

Bei ya kiwanja kimoja Tsh 2,500,000/- Milioni mbili na laki tano

NB:Picha za Beach/Pwani ambazo zipo pamoja na picha za Kiwanja, zina lengo la kukuonyesha aina ya fukwe ilivyo na haina maana kuwa hiki Kiwanja kipo baada ya Beach/Pwani. Nasisitiza; umbali wa kutoka Kiwanja kilipo mpaka Beach/Pwani ni Mita 600

What’s App/Call 0653007438
#mtegemeachanduguhufamaskini
#kimfaachomtuchake