Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Barabara ya Karibu
200m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 Karibu Kumiliki Kiwanja Chako Kigamboni!
Ndoto ya kuwa na ardhi yako inaanza leo. Usikose fursa ya kuwekeza katika viwanja vilivyopimwa, vyenye mazingira mazuri na vinavyokua kwa kasi.
📌KIMBIJI KWA CHALE
600Meter kutoka baharini
200meter kutoka barabara kuu
Bei:1sqm-30,000/- Malipo kwa Cash au Anza na 20% inayobaki utalipa ndani ya miezi 18
VIWANJA Vimebaki 6 tu (Kuanzia Sqm 331 hadi 539sqm)
📌BUYUNI MTI MWEUPE
2Km kutoka Baharini
1Km kutoka Barabara kuu
💸Bei kwa 1sqm-17,000/- Cash na 1sqm-19,000/- kwa malipo ya awamu ndani ya miezi 24
(Ukubwa wa sqm 471 hadi sqm 665 tu)
✅ Eneo zuri kwa makazi na uwekezaji
✅ Malipo nafuu na ya awamu
✅ Hati miliki zinapatikana
Wekeza leo, jenga kesho yako kwa uhakika. Kigamboni ni mahali sahihi pa kuanza safari ya umiliki wa ardhi.
#Kigamboni #ViwanjaDarEsSalaam #Uwekezaji #Ardhi #LandForSale TrustSolutionCompany















