Viwanja vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam sqm 500
Kimbiji, Dar Es Salaam
5 hours ago
Sh. 1,000,000
Ukubwa
500 SQM
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Mradi huu upo Kimbiji(kijaka), Kigamboni, na unatoa fursa ya kumiliki kiwanja kwa urahisi. Tunayo viwanja vya ukubwa tofauti—mita za mraba 500, 600, 700,1,000 hadi 2,000, vinavyofaa kwa makazi na uwekezaji. Unaweza kuanza kwa malipo ya awali ya shilingi milioni1 tu, kisha ukalipia salio kwa awamu ndani ya miezi 12. Huu ni mpango unaomwezesha kila mtu kumiliki kiwanja kulingana na uwezo wake wa kifedha
SITE VISIT 30K
Mawasiliano
0758631303
#tuposotempakamwisho















