Viwanja vinauzwa Kimbiji kwa CHALE, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 30,000 per sqm

Barabara ya Karibu

200m โ€” Main Road

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara
Karibu na Bichi
Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

๐ŸŒด Kimbiji kwa CHALE โ€“ Miliki Kiwanja Chako Leo na Uwe Sehemu ya Maisha Bora! ๐ŸŒŠ
Huu siyo mradi wa kawaida โ€” ni fursa ya kipekee kwa yeyote anayetaka kuwekeza kwa akili na kuona thamani ya pesa yake ikiongezeka kila siku. Eneo la Kimbiji kwa CHALE ni mahali tulivu, penye upepo safi wa baharini, na umbali mfupi tu kutoka barabara kuu, jambo linaloongeza thamani yake kwa haraka.
๐Ÿ“„ Nyaraka halali 100% โ€“ amani ya moyo kwa kila mmiliki
๐Ÿ’ฐ Bei rafiki kwa โ€“ fursa adimu ya kununua ardhi kwa thamani sahihi
๐Ÿš€ Thamani inakua kila siku โ€“ uwekezaji sahihi kwa kesho yako
Hapa ndilo eneo unalotaka: kuishi kwa amani, kuwekeza kwa akili, na kuhakikisha ndoto zako za nyumba au biashara zinaanza sasa. Wengi tayari wameshajua fursa hii โ€” usisubiri hadi bei ipande zaidi! ๐Ÿ“Œ Mradi: Kigamboni โ€“ Kimbiji kwa CHALE
๐Ÿ“ Umbali: Mita 200 kutoka main road, Mita 600 kutoka baharini ๐Ÿ–๏ธ
๐Ÿ’ฐ Bei: Tsh 30,000/mยฒ, Down Payment 20%, malipo kidogo kidogo ndani ya miezi 18
๐Ÿ“Eneo la uwekezaji linalokua kwa kasi, Chukua hatua sasa ya kumiliki ardhi salama kwa malipo rahisi.
๐Ÿ“ž Wasiliana nasi sasa: +255 748 303 601
๐ŸŒŸ Wengine tayari wameshajua fursa hii โ€” sasa ni wakati wako kuingia kwenye game la uwekezaji! #LandForSale
#MilikiArdhi
#RealEstateTanzania
#Uwekezaji
#OwnYourLand