Kiwanja kinauzwa Goba Njia Nne / Tegeta-A, Dar Es Salaam (1850 sqm)

video thumbnail
Sh. 65,000,000

Aina

Kiwanja

Vyumba

2

Ukubwa

1850 SQM

Barabara ya Karibu

300m

Huduma na Sifa

Karibu na Shule
Karibu na Barabara
Poultry Sheds
Bank Sale

Maelezo

KIWANJA SQM.1,850/MABANDA YA KUKU,INAUZA BANK,TSHS.65 MILIONI, GOBA

Hapa ni GOBA NJIA NNE/TEGETA-A.
Unashukia LILIAN KIBO SCHOOL.

Wastani wa mita 300 tu kutoka Barabara Kuu.

Kuna Nyumba yenye vyumba 2.
Mabanda ya kufugia Kuku na eneo ni kubwa.
Unaweza kujenga nyumba ya kuishi pamoja na Ufugaji.
Am kuweka Apartments za Biashara pia utapiga Hela.

Kiwanja SQM.1,850.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Eneo zuri.
_________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548
_________________jj