Kiwanja kinauzwa Kisota, Kigamboni, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI KISOTA – KARIBU NA KWA MWIGYAKO 🏡
✅ Ukubwa: SQM 1,200
✅ Kiwanja cha pili kutoka barabara ya lami
✅ Kimepimwa (Surveyed & Approved)
✅ Hati tayari, umiliki unahamishwa kwa jina lako
✅ Corner plot chenye barabara mbili
✅ Eneo tambarare, halijatuama maji
✅ Mtaa mzuri na unaoendelea kwa kasi
📍 Mahali: Kisota, Kigamboni – Dar es Salaam
📍 Mita 100 tu kutoka barabara ya lami
📍 Kilomita 3 mpaka Daraja la Nyerere
📍 Kilomita 4 mpaka Ferry
💰 Bei: TZS 128,000,000 Mazungumzo yapo kwa mnunuzi makini.
🔥 Kiwanja hiki ni HOT CAKE! Kinafaa kwa makazi ya kisasa, apartments, guest house au uwekezaji wa muda mrefu.
🚗 Service Charge: TZS 30,000 kwa kuangalia eneo.
📞 Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni viwanjavinauzwa viral















