Kiwanja kinauzwa Kitanga Shuleni, Kigoma (400 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
8km ā Chanika Stendi
Awali
Inaruhusiwa
Maelezo
⨠WAHI VIWANJA KWA BEI NAFUU!
Unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba yako au kufanya uwekezaji wa baadaye? Hii ni nafasi nzuri kwako!
š Mahali: Kitanga Shuleni
š Umbali: KM 8 tu kutoka Chanika Stendi
š° Bei: Tsh 700,000 tu kwa SQM 400
š Ukubwa wa kiwanja:
SQM 400 = 20m Ć 20m
š” Viwanja hivi vinafaa kwa makazi na uwekezaji, katika eneo linaloendelea kukua na lenye fursa nzuri kwa maendeleo ya baadaye.
šµ Malipo: Cash au kwa awamu kulingana na makubaliano.
š Kufika eneo: Tunakwenda site siku zote kwa ajili ya kukuonyesha eneo na kukupa maelezo zaidi.
š Huduma: Bati na mikataba halali kisheria.
š Eneo linafikiwa kwa urahisi na linaendelea kuwa sehemu nzuri kwa makazi na uwekezaji.
š„ Tsh 700,000 tu! Usisubiri bei ipande ā anza leo.
š Mlewa Real Estate
Mlewa Real Estate ā Hakuna Baba Mwenye Gari Bali Kuna Baba Mwenye Nyumba.



