Tafuta

Kiwanja kinauzwa Mbweni Jkt, Dar Es Salaam (600 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 320,000,000

Maelezo

๐Ÿ”ฅ KIWANJA CHA KIFAHARI KINAUZWA โ€” MBWENIJKT (BLOCK 8) ๐Ÿ”ฅ
Kama unatafuta eneo la kujenga mjengo wako wa ndoto kwenye mazingira ya utulivu, usalama, na yenye majirani wa hadhi ya juu, hii ndiyo fursa yako!
Mbezi JKT Block 8 ni eneo linalokua kwa kasi na kuvutia watu wote wenye muonekano wa tofauti. Hapa hakuna uswahili wala kelele; ni eneo tulivu linalokupa amani ya nafsi na usalama wa familia yako.
Sifa za Kiwanja:
๐Ÿ“ Eneo:MBWENI JKT (Block 8)
๐Ÿ“ Ukubwa: Ukubwa wa Mita za Mraba 600 (SQM 600)
โœจ Mazingira: Eneo lililopangwa vizuri, miundombinu safi, majirani classic na mazingira yenye hadhi kubwa.
๐Ÿ’ฐ Bei: TZS Milioni 320 (Maongezi yapo)
Hii ni investment ya uhakika kwa mtu anayejua thamani ya makazi bora na ya kisasa.
๐Ÿ“ฒ Wasiliana nasi sasa kwa maongezi zaidi: [0716702213]
๐Ÿ’ฌ WhatsApp / Piga Simu: [0716702213] dalaliuhuru