Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Makofia, Dar Es Salaam (1200 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
Sh. 70,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

1200 SQM

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

Hapa kuna kiwanja kinauzwa bei milion 70, ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 1200, eneo zuri sana na kiwanja cha 4 kutoka lami, document ni serikari ya mtaa, hapa unaweza jenga nyumba za apartment au makazi, n.k, ni maeneo ya tabata kinyerezi makofia dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 50000

Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam