Kiwanja kinauzwa Tabata Shule, Dar Es Salaam (700 sqm)

video thumbnail
Sh. 120,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

700 SQM

Huduma na Sifa

Uzio
Karibu na Stendi ya Mabasi
Karibu na Barabara
Karibu na Mji

Maelezo

๐Ÿข KIWANJA KINAUZWA โ€“ TABATA SHULE ๐Ÿข

Kiwanja kizuri sana kinauzwa Tabata Shule, takribani dakika 2 tu kutoka kituoni ๐Ÿšถโ€โ™‚๏ธ na ufikaji ni rahisi kabisa ๐Ÿš—.

๐Ÿ“ Ukubwa: SQM 700
๐Ÿ”’ Kipo ndani ya fence na kuna nyumba za zamani za kuvunjwa ๐Ÿš๏ธ, hivyo unaweza kuanza ujenzi mara moja ๐Ÿงฑ.

Hii ni fursa nzuri sana kwa uwekezaji wa apartments ๐Ÿฌ.

Unaweza kujenga:
๐Ÿ”น Vyumba viwili, sebule na jiko na kupangaisha kuanzia 700,000/= ๐Ÿ’ฐ kulingana na finishing.
๐Ÿ”น Au Master bedroom na jiko na kupangaisha kuanzia 500,000/= ๐Ÿ’ฐ kulingana na finishing.

โญ Watu wengi wanapenda sana kuishi Tabata Shule kwa sababu:
โœ”๏ธ Hakuna foleni ๐Ÿš—โŒ
โœ”๏ธ Ufikaji wa mjini ni rahisi sana ๐Ÿ›ฃ๏ธ
โœ”๏ธ Ni karibu na mjini kuliko kwenda mbali kama Kinyerezi au Tabata Segerea.

Ndiyo maana wapangaji wengi wanaprefer kuishi Tabata Shule au Tabata Mwanzo.

๐Ÿ’ฐ Bei: Milioni 120 tu
๐Ÿ‘€ Service charge: 30,000/=

๐Ÿ”ฅ Hapa unaweza kufanya uwekezaji mzuri sana na kutengeneza faida kubwa kwa kupangisha.

๐Ÿค Karibu tajiri tufanye biashara.

๐Ÿ“ž Wasiliana nami: +255 688 412 890
โœจ Dalali wako Wakishua