Viwanja vinauzwa Kibaha Maili Moja, Pwani
Aina
Kiwanja
Barabara ya Karibu
900m โ Maili Moja โ Baobab/Mapinga Road
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก JE, UPO TAYARI KUMILIKI ARDHI YENYE THAMANI INAYOKUA KILA SIKU?
๐ KIBAHA MAILI MOJA ndiyo fursa unayoisubiri!
๐ Eneo lipo mita 900 tu kutoka Barabara ya Lami (Maili Moja โ Baobab/Mapinga Road), mahali penye maendeleo ya haraka na thamani ya ardhi inayoongezeka kila mwaka.
๐ Kwa Nini Uchague Kibaha Maili Moja?
โ
Viwanja vimepimwa na kuidhinishwa
โ
Maji yanapatikana
โ
Umeme upo karibu
โ
Barabara za ndani zimefunguliwa vizuri
โ
Eneo lina mazingira bora ya makazi na uwekezaji
๐ฐ Anza Kumiliki kwa TZS 11,000,000 Tu!
๐ณ Malipo Rahisi
โ Lipa 50% tu kuanzia
โ Kamilisha salio ndani ya miezi 6
๐ SITE VISIT NI BURE!
Njoo ujionee maendeleo ya eneo, chagua kiwanja chako na uanze safari ya kumiliki mali isiyopungua thamani.
๐ Miradi Mingine Inayopatikana
๐ Kibamba Shule
๐ Kibaha Visiga
๐ Bagamoyo Kerege
๐ Kigamboni Kimbiji Puna
๐ Kigamboni Mwembe Mdogo
๐ข Ofisi: Mwenge Bamaga, Dora Tower โ 4th Floor
๐
๐
๐ฒ Piga Simu au Tuma WhatsApp Sasa!
๐ฅ Usisubiri bei zipande ndipo uanze kutafuta kiwanja. Chukua hatua leo, linda kesho yako kwa uwekezaji wa ardhi.
Perfect Property Co. Ltd โ Committed to Excellence.
#PerfectProperty #KibahaMailiMoja #WekezaLeo #ArdhiNiMali #realestatetanzania















