Viwanja vinauzwa Kigamboni Buyuni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 5,000,000

Aina

Kiwanja

Maelezo

Leo nawaletea offer ya kipekee ya viwanja vilivyopo Kigamboni Buyuni ๐Ÿ“

Bei yake ni kuanzia Milioni 5 tu na kuendelea. Hii ni nafasi nzuri kwa yeyote anayetamani kumiliki kiwanja kwa ajili ya makazi au uwekezaji wa baadaye.

Usikose fursa hii ya kuanza safari yako ya kumiliki ardhi. Nunua leo kabla bei haijapanda au viwanja kuisha. ๐Ÿกโœจ

Viwanja Vilivyopo sokoni na Vilivyotoka sokoni
โœ…Sqm 449 Tsh 4,490,000โœ…available โœ…
โŒ sqm 750 Tsh 7,500,000 โŒ sold โŒ
โœ… sqm 757 Tsh 7,570,000โœ…available โœ…
โœ… sqm 480 Tsh 4,800,000โœ… available โœ…
โŒsqm 884 Tsh 8,840,000โŒ soldโŒ
โŒ sqm 721 Tsh 7,210,000โŒsold โŒ
โœ…sqm 616 Tsh 6,160,000โœ… available โœ…

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi sasa kupata kiwanja 0761444564

#KigamboniBuyuni #UwekezajiWaArdhi #ViwanjaDar #MilikiArdhi