Tafuta

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 30,000/sqm

Maelezo

🏑✨ FURSA IPO MBELE YAKO! ✨🏑

Usiache ndoto ya kumiliki ardhi ibaki ndoto. Chukua hatua leo na uanze safari yako ya kuwa mmiliki wa kiwanja katika eneo lenye fursa kubwa za maendeleo.

βœ… Miliki ardhi kwa kulipa pole pole
βœ… Viwanja vinafaa kwa makazi na makazi biashara
βœ… Eneo lenye ukuaji wa haraka na mazingira mazuri
βœ… Hati na umiliki salama

Kuwa mmoja wa wale wanaochukua hatua mapema na kunufaika na thamani ya ardhi inayozidi kupanda kila siku.

MIRADI
πŸ“ŒKimbiji kwa Chale
πŸ“ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
🌊 Mita 600 kutoka baharini
πŸ’° Bei ni sh 30,000 kwa sqm
βœ… Anza na down payment ya 20% tu
πŸ“† Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18


πŸ“ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni – Dar es Salaam
βœ” Km 2 kutoka Baharini
βœ” Km 1 kutoka Barabara kuu
πŸ’° Bei Maalum:
β€’ Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
β€’ Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
βœ” Malipo kwa awamu hadi miezi 24 Wasiliana nasi:

πŸ“ž+255 748 303 601
Ofisi zipo
πŸ“Makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11

Trust Solution Company Ltd – Tunakusaidia kutimiza ndoto ya umiliki wa ardhi salama.

#FursaIpoMbeleYako #ChukuaHatuaSasa #MilikiArdhi #Kigamboni #TrustSolution AndaaMakazi RealEstateTanzania Uwekezaji ViwanjaVinauzwa ArdhiSalama