Viwanja vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 30,000 per sqm

Aina

Kiwanja

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Karibu na Bichi
Karibu na Barabara
Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

๐Ÿ“ˆ Ardhi ni Mali โ€“ Anza Uwekezaji Wako Kimbiji Sasa! ๐Ÿ€Je, unatafuta sehemu bora ya kuwekeza au kujenga makazi ya ndoto zako? Karibu kwenye mradi wetu wa Kimbiji Beach Plots, mahali ambapo thamani ya ardhi inaongezeka kila siku kutokana na maendeleo ya kasi ya eneo la Kigamboni.
๐Ÿ“ Viwanja vyetu vinapatikana Kimbiji kwa Chale eneo tulivu, lenye upepo mwanana wa bahari na mazingira rafiki kwa makazi na uwekezaji.
โœ”๏ธ Umbali mfupi kutoka barabara kuu
โœ”๏ธ Karibu na bahari โ€“ mandhari ya kuvutia
โœ”๏ธ Eneo linaendelea kukua kwa kasi.
๐Ÿ’ฐ Bei nafuu kabisa: Tsh 30,000 kwa sqm
๐Ÿ‘‰ Unaweza kulipa kwa cash au kwa awamu
๐Ÿ‘‰ Anza na 20% tu ya malipo ya awali ๐Ÿ‘‰ Na ukiendeleza malipo ya kidogo kidogo ndani ya miezi 18
๐Ÿ”’ Usalama wa uwekezaji wako ni kipaumbele chetu
Tunatoa viwanja vyenye nyaraka halali, vinavyozingatia mipango ya mji ili kukupa amani ya moyo na uhakika wa umiliki wa kudumu.
๐Ÿ“ˆ Kumbuka: Ardhi haiongezeki, lakini thamani yake inaongezeka kila siku. Hii ni nafasi yako ya kufanya maamuzi sahihi leo kabla bei haijapanda kesho.
๐Ÿข Tembelea ofisi zetu Makumbusho, Derm Plaza ghorofa ya 11 kwa maelezo zaidi au kupanga site visit.
๐Ÿ“ž+255 748 303 601

Wasiliana nasi sasa na chukua hatua ya kwanza kuelekea uwekezaji wenye faida!
#DreamHomeTZ
#SmartInvestment
#FutureInvestment
#NyumbaYako
#PataKiwanja
ArdhiSalama
InvestSmartTZ