Viwanja vinauzwa Njia ya kwenda Mvumi, Morogoro (1000 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
Leo wateja wangu ninavyo viwanja vikubwa vya kujenga vyenye ukubwa wa sqm 1,000+
💥Mradi upo njia ya kwenda mvumi dodoma jirani na shule ya zion
💥Pamejengeka sana
💥Pame pimwa na jiji
💥Nyaraka zote za umiliki zipo
💥Bei zetu ni nafuu sana tuna kiuza 15M
💥Karibu sana utembelee site zetu leoo
💥Malipo kwa( awamu sita )
💥Viwanja vipo km chache sana na hospital ya dcmc
💥 Maji , umeme umefika site
👉Huduma ya kwenda site ipo karibu sana 🙏
0761 444449




