Viwanja vinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (640 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 35,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

640 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Ardhi Iliyopimwa
Site Visit Bure

Maelezo

๐Ÿก HAPA TUNA VIWANJA VINAUZWA โ€“ TABATA SEGEREA (VIWANJA VYA BENKI) ๐Ÿ“

Vipo eneo la kifahari na tulivu katika Tabata Segerea โ€“ location bora kwa wanaopenda sehemu nzuri na yenye hadhi.

๐Ÿ”น Plot No. 114 โ€“ Sqm 640 โ€“ ๐Ÿ’ฐ Milioni 35
๐Ÿ”น Plot No. 115 โ€“ Sqm 645 โ€“ ๐Ÿ’ฐ Milioni 40

โœ… Viwanja vimepakana โ€“ ukihitaji unaweza kupewa vyote viwili kwa pamoja
โœ… Kila kiwanja kina Hati Miliki ya Wizara
โœ… Eneo limejengeka na lina thamani kubwa ya uwekezaji

๐Ÿ’ผ Inafaa kwa makazi binafsi au uwekezaji wa muda mrefu.

๐Ÿ“ž Muhitaji piga simu uje uone site:
+255688412890

โœจ Dalali wako Wakishua