Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Kinyerezi Darajani, Dar Es Salaam (300 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก FURSA YA UWEKEZAJI โ KIWANJA KINAUZWA KINYEREZI DARAJANI! ๐ฅ
Unatafuta kiwanja kitakachokuletea kipato cha kila mwezi? Hiki ndicho chaguo sahihi!
๐ Location: Kinyerezi Darajani
๐ Ukubwa: SQM 300
๐ฃ๏ธ Kinatazama barabara ya lami
๐ Kina kibanda ndani
โ
Tambarare kabisa
โ
Miundombinu imekamilika
โ
Eneo bora kwa uwekezaji
Fursa za Uwekezaji:
๐ช Jenga fremu 3 za biashara mbele na ukapangisha kuanzia TSh 150,000 kila moja kwa mwezi.
๐๏ธ Kwa nyuma unaweza kujenga:
โ๏ธ Master 5 au zaidi (kutegemeana na ramani), kila moja ukapangisha kuanzia TSh 150,000 kwa mwezi.
AU
โ๏ธ Master za kisasa zenye jiko (self-contained) na ukapangisha TSh 200,000 kila moja kwa mwezi.
๐ฐ Bei: TSh Milioni 30 tu.
๐ต Service Charge: TSh 30,000
๐ค Udalali: 10% endapo biashara itafanikiwa.
๐ Wasiliana:
Karibu sana tajiri, tufanye biashara!
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!







