Frame ya Biashara inapangishwa Kinondoni, Dar Es Salaam

Kinondoni, Dar Es Salaam
2 days ago
Sh. 1,500,000/month
Maelezo
FREM INAPANGISHWA
📍 KINONDONI
📌Bei : 1,500,000/=
📌Malipo : Miezi 6
📌Frem kubwa na yenye nafasi ya kutosha
📌Eneo zuri la kibiashara
📌 Biashara yoyote inaruhusiwa
📌Mazingira mazuri na rahisi kufikika
📌Service Charge: 30,000/=
☎️0635255871
#realestate
#daresalaam















