Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Sh. 600,000/month

Maelezo

🏢 FREMU INAPANGISHWA – SINZA 🏢

📍 Fremu ipo Sinza, katika eneo zuri sana lenye mzunguko mkubwa wa watu.

💰 Kodi: TSh 600,000/= kwa mwezi.

✅ Ipo sehemu nzuri sana.
✅ Pamechangamka sana.
✅ Panafaa kwa biashara yoyote.

🚗 Gharama za kupelekwa kuangalia eneo: TSh 30,000/=

📞 Call: 0712528820 / 0685221354

Mr.