Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Sinza, Dar Es Salaam
2 days ago
Sh. 800,000/month
Huduma na Sifa
Karibu na Barabara
Service Charge30000
Maelezo
🔥 FREMU INAPANGISHWA – SINZA 🔥
📍 Eneo zuri, lenye muonekano mzuri na biashara nyingi.
💰 Kodi: TSh 800,000 kwa mwezi
📅 Malipo: Miezi 6
✅ Inafaa kwa Salon
✅ Boutique
✅ Office
✅ Pharmacy
✅ Mini Supermarket na biashara nyingine mbalimbali.
📞 0678512666
💵 Service Charge: TSh 30,000
⚡ Usichelewe! Fremu za Sinza kwa bei hii hupata wapangaji haraka. Wasiliana sasa!















