Frame ya Biashara inapangishwa Sinza Mori, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 600,000 per month

Aina

Frame ya Biashara

Huduma na Sifa

Umeme
Service Charge30000

Maelezo

🏢 FREM INAPANGISHWA – SINZA MORI 🏢

Unatafuta sehemu nzuri ya kuendesha biashara yako? Hii hapa fursa adimu! 🔥

📍 Eneo: Sinza Mori
💰 Bei: Tsh 600,000 kwa mwezi
✨ Frem kubwa yenye muonekano mzuri sana
📌 Ipo sehemu yenye mzunguko mzuri wa watu – biashara inahakikishiwa kuonekana
⚡ Umeme na mazingira rafiki kwa biashara
🧾 Service Charge: Tsh 30,000

Inafaa kwa biashara mbalimbali kama ofisi, duka, saluni na nyingine nyingi.

📞 Wahi sasa! Piga simu: 0787093748

Usikose nafasi hii ya kipekee! 🚀