Shamba linauzwa Cheka, Kigamboni, Dar Es Salaam acre 4
Ukubwa
4 ACRE
Barabara ya Karibu
1.5km
Huduma na Sifa
Maelezo
π₯ HEKARI 4 ZA KIBABE ZINAPATIKANA KIGAMBONI β CHEKA, DAR ES SALAAM! π₯
Unatafuta eneo kubwa kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo na ufugaji wa kibiashara? Hii ni fursa adimu sana! π‘πππΎ
π Kigamboni β Cheka, Dar es Salaam
π Ukubwa: Hekari 4
π Takribani km 1.5 kutoka barabara ya lami / Cheka Stand
β
Eneo limezungushiwa/limetayarishwa vizuri na halina changamoto
β‘ Lina umeme
π§ Lina maji
π Lina mabanda makubwa ya kisasa yenye uwezo wa kufuga zaidi ya kuku 15,000
π Lina mabwawa 3 makubwa ya samaki, yakiwa na miundombinu ya:
β’ Kuingiza maji safi
β’ Kutoa maji
β’ Mfumo mzuri wa oksijeni kwa ajili ya ufugaji wa samaki kibiashara
πΎ OPEN SPACE KUBWA ipo kwa ajili ya kuongeza shughuli nyingine za kilimo na uwekezaji.
π± Mazao tayari yapo eneo hilo, ikiwemo:
π₯ Maembe
π° Mikorosho
π½ Mahindi
πΏ Kunde
π Pia kuna nyumba ya shamba/mrinzi, yenye:
β‘ Umeme
π§ Maji
π° Tanki la maji
π¨βπΎ Na tayari kuna mtu anaishi hapo kwa ajili ya uangalizi wa eneo.
π° BEI: TZS MILIONI 250 TU
π₯ Bei ya kutupa!
π€ Mazungumzo kidogo sana yapo.
Usikose fursa hii ya eneo kubwa lenye miundombinu tayari kwa biashara ya kuku, samaki na kilimo.
π Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kuiona site.
π΅ Service Charge: TZS 30,000
π² Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni Cheka FarmForSale ChickenFarm FishFarm LandForSale






