Tafuta

Shamba linauzwa Cheka, Kigamboni, Dar Es Salaam acre 4

Sh. 250,000,000

Ukubwa

4 ACRE

Barabara ya Karibu

1.5km

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Tanki la Maji
Bustani
Chicken Coops
Fish Ponds

Maelezo

πŸ”₯ HEKARI 4 ZA KIBABE ZINAPATIKANA KIGAMBONI – CHEKA, DAR ES SALAAM! πŸ”₯

Unatafuta eneo kubwa kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo na ufugaji wa kibiashara? Hii ni fursa adimu sana! πŸ‘πŸ”πŸŸπŸŒΎ

πŸ“ Kigamboni – Cheka, Dar es Salaam
πŸ“ Ukubwa: Hekari 4
πŸš— Takribani km 1.5 kutoka barabara ya lami / Cheka Stand

βœ… Eneo limezungushiwa/limetayarishwa vizuri na halina changamoto
⚑ Lina umeme
πŸ’§ Lina maji
πŸ” Lina mabanda makubwa ya kisasa yenye uwezo wa kufuga zaidi ya kuku 15,000
🐟 Lina mabwawa 3 makubwa ya samaki, yakiwa na miundombinu ya:
β€’ Kuingiza maji safi
β€’ Kutoa maji
β€’ Mfumo mzuri wa oksijeni kwa ajili ya ufugaji wa samaki kibiashara

🌾 OPEN SPACE KUBWA ipo kwa ajili ya kuongeza shughuli nyingine za kilimo na uwekezaji.

🌱 Mazao tayari yapo eneo hilo, ikiwemo:
πŸ₯­ Maembe
🌰 Mikorosho
🌽 Mahindi
🌿 Kunde

🏠 Pia kuna nyumba ya shamba/mrinzi, yenye:
⚑ Umeme
πŸ’§ Maji
🚰 Tanki la maji
πŸ‘¨β€πŸŒΎ Na tayari kuna mtu anaishi hapo kwa ajili ya uangalizi wa eneo.

πŸ’° BEI: TZS MILIONI 250 TU
πŸ”₯ Bei ya kutupa!
🀝 Mazungumzo kidogo sana yapo.

Usikose fursa hii ya eneo kubwa lenye miundombinu tayari kwa biashara ya kuku, samaki na kilimo.

πŸ“ž Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kuiona site.

πŸ’΅ Service Charge: TZS 30,000

πŸ“² Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale

#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni Cheka FarmForSale ChickenFarm FishFarm LandForSale

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam