Shamba linauzwa Kibaha Misugusugu, Pwani (17.84 acre)
Misugusugu, Pwani
22 hours ago
Sh. 2,000,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
: Ekari 17.84
Ni shule ya sekondari kuanzia kidato cha 1 mpaka cha 6.
Ipo kibaha misugusugu, km 1 from main road.
Madarasa yapo 16.
Bei ni 2B, maongezi yapo kidogo.
Yard hiyo inauzwa ipo Kivule maeneo ya Frem10 inaukubwa wa sqm 8,500 sawa na Heka2 Yard hii ipo karibu na Hospitali mpya ya Amana ya Kivule kutoka barabara kubwa ya Kivule Road mpaka kwenye hii Yard ni mita 400tu mmiliki ni mmoja na ina Hati ya kisasa ya wizara mwenyewe anauza ml.850Tsh maongezi yapo kidogo barabara yake ni yazege imara na pana maloli yanapisha bila shaka yeyote kazi hii imenyooka sana haina konakona kukagua mda wowote hakuna masharti

