Shamba linauzwa Misugusugu, Pwani (25 acre)

video thumbnail
Sh. 250,000,000

Aina

Shamba

Ukubwa

25 ACRE

Barabara ya Karibu

3km — Morogoro Road

Huduma na Sifa

Uzio
Umeme
Kisima
Maji
Mitiki
Miembe

Maelezo

Shamba lina fence ya mitiki, lina miembe, michungwa, mikorosho, minazi, mifenesi, milimao, na ndimu, pia kuna mipingo, miarobaini, kisamvu. Nazi zipo zinazozaa, korosho zipo zinazoanza kuzaa, maembe msimu wa 2 ma wa3 yanazaa. Ndimu zipo, mafenesi yameanza kuzaa baadhi. Shamba linauzwa ekari 25 zote kwa mara 1 na kutoka barabara kuu ya Morogoro ukiingilia Misugusugu kwa boda boda ni Tshs 4000 tu mpaka shambani. Ni lami ya viwanda na inabaki vumbi kama km 3 mpaka shamba. Umeme shambani wa phase 2 upo. Maji ya kisima muda wote yapo. Mawasiliano ni 0794935203. Gharama ya kupelekwa kuona ni 50,000. BEI YA SHAMBA NI MILIONI 250. Karibu sana.

Similar items by location

Shamba linauzwa Misugusugu, Pwani (25 acre)
  • 25acre
  • Agriculture

Sh. 250,000,000

Shamba lina fence ya mitiki, lina miembe, michungwa, mikorosho, minazi, mifenesi, milimao, na ndimu,...