Duka linapangishwa Kariakoo, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
*Haina Kilemba* - Ina kodi ya miezi 5 - Inauzwa na shelf zake - mteja akijitambulisha kwa mwenye nyumba atalipia kilemba akitumia mkataba .wangu nitamtambulisha kama ndugu yangu - Kodi kwa mwezi ni Tsh 300,000/= Sevice chaji ya kuona 30 mpaka unapatiwa fremu bila kuchajiwa Tena siku nyingine #0716938128_0692198834 #0760097834_call wsp















