Duka linapangishwa Sinza, Dar Es Salaam
Sinza, Dar Es Salaam
2 days ago
Sh. 500,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 FREM INAPANGISHWA – SINZA 🔥
Frem nzuri sana inapangishwa maeneo ya Sinza kwa bei ya Tsh 500,000/= tu kwa mwezi. Ipo sehemu nzuri sana ya biashara na inatizama lami moja kwa moja 🚶♂️🚗
✔️ Inafaa kwa biashara mbalimbali
✔️ Eneo lenye watu wengi na biashara kuchangamka
✔️ Panafikika kwa urahisi muda wowote
💰 Bei: 200,000/= kwa mwezi
🧾 Service Charge: 30,000/=
📞 Call:















