Shule inauzwa Bunju A, Dar Es Salaam (1500 sqm)


Bunju, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 200,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
Shule (Pre & Primary School) inauzwa ipo Bunju, A
Eneo lina sqm 1500,
Hati miliki ipo,
Shule ina madarasa matano, vyoo na uwanja wa kucheza.(Play ground).
Kuna nyumba ya vyumba vitatu ya mwalimu/Walimu.
Bei Milioni 200
Maongezi yapo
Wasiliana nami
0784 234 971
0718809744
