Viwanja vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
๐ HATI MILIKI MIKONONI KWAKO! ๐ก
Ndoto ya kumiliki ardhi sasa inaweza kuwa uhalisia. Trust Solution Company Ltd tunaendelea kutimiza ahadi zetu kwa kuwakabidhi wateja wetu hati miliki halali na salama.
MIRADI
๐KIMBIJI KWA CHALE
๐ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ Mita 600 kutoka baharini
๐ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โ
Anza na down payment ya 20% tu
๐ Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18
๐ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ Dar es Salaam
โ Km 2 kutoka Baharini
โ Km 1 kutoka Barabara kuu
๐ฐ Bei Maalum:
โข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โ Malipo kwa awamu hadi miezi 24 Wasiliana nasi:
๐+255 748 303 601 Ofisi zipo ๐Makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11
๐Usiishie kutamani kumiliki kiwanja. Fanya maamuzi sahihi leo na uanze safari ya kuwa mmiliki wa ardhi yenye hati halali. Timu yetu ipo tayari kukuhudumia kwa weledi, uwazi na uaminifu kuanzia hatua ya kwanza hadi unapokabidhiwa hati yako.
๐Kesho huanza na uamuzi wa leo. Karibu Trust Solution Company Ltd โ tunageuza ndoto zako kuwa uhalisia. #HatiMiliki #TrustSolution #MilikiArdhi #ViwanjaHalali #Uwekezaji RealEstateTanzania Kigamboni ArdhiSalama NunuaKiwanja AndaaMakazi Huduma















