Viwanja vinauzwa Kimbiji kwa Chale, Dar Es Salaam

Aina
Kiwanja
Barabara ya Karibu
200m โ barabara kuu
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Usikubali kuuziwa kiwanja kwa โahadiโ tu! ๐จ
Unapowekeza kwenye ardhi, kumbuka hili:
๐ Bila mkataba, hakuna uhakika!
Wengi wamepoteza pesa kwa kuamini maneno matamu bila nyaraka. Usije kuwa mmoja wao! Hakikisha unasaini mkataba rasmi unaokulinda leo na kesho.
Kiwanja bila mkataba ni hatari kwa uwekezaji wako! โ ๏ธ
Chukua hatua sahihiโnunua kiwanja, SAINI mkataba, linda pesa yako. ๐ผโจ Mradi ๐Kimbiji kwa Chale ๐ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ Mita 600 kutoka baharini
๐ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โ
Anza na down payment ya 20% tu
๐ Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18 Wasiliana nasi: ๐+255 748 303 601 Ofisi zipo ๐Makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11 kila kiwanja kina thamani, lakini bila mkataba thamani hiyo inaweza kupotea muda wowoteโusirisk pesa yako kwa kuamini ahadi, hakikisha unasaini mkataba halali ili kulinda uwekezaji wako na kuwa na amani ya moyo. โ๏ธ๐๏ธ๐ผ #KiwanjaHalali #KiwanjaSalama #SainiMkataba #KigamboniBuyuni #KigamboniKimbiji
