Viwanja vinauzwa Kiseriani Maroroi/Olomitu, Arusha (400 sqm)
Kiseriani, Arusha
1 hour ago
Sh. 12,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
KISERIANI MAROROI/OLOMITU
Mradi mpya wa viwanja vya makazi. Viwanja vimepimwa na Halmashauri ya Jiji. Maji, umeme, njia bora na udongo mzuri.
20x20, 20x40, 25x30
20x20 = 12M
Awamu 2 ndani ya miezi 3.
š Site visit!






