Viwanja vinauzwa Mgongozo, Kigamboni, Dar Es Salaam
Barabara ya Karibu
400m β Alame
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ VIWANJA VINAUZWA β MWONGOZO, KIGAMBONI, DAR ES SALAAM π΄
Je, unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba au kufanya uwekezaji? Hivi ni viwanja vyenye nafasi nzuri na vinapatikana kwa bei nafuu.
π Eneo: Mgongozo, Kigamboni
π£οΈ Vinagusa barabara kubwa ya Alame
π Umbali wa mita 400β500 kutoka barabara kuu
π Vimepimwa na vina Survey & Approval
π° Bei: TZS 35,000 kwa Square Meter
π Ukubwa na Jumla ya Bei:
* β
400 SQM = TZS 14,000,000
* β
500 SQM = TZS 17,500,000
* β
600 SQM = TZS 21,000,000
β
Unaweza kuchukua kiwanja kimoja, viwili au zaidi kulingana na mahitaji yako.
π΅ Service Charge: TZS 30,000 (kwa kuonyesha eneo)
π Call/WhatsApp: +255 746 407 197















