Tafuta

Viwanja vinauzwa Mwasonga, Dar Es Salaam sqm 500

video thumbnail
Sh. 8,000,000

Ukubwa

500 SQM

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Hati
Ardhi Iliyopimwa
Near Main Road

Maelezo

Hapa ndipo! šŸ“ Kigamboni Mwasonga - eneo linalokua kwa kasi sana!

āœ… Ukubwa: Kutoka 500sqm kuendelea
āœ… Nyaraka: Hati Safi / Mkataba wa Mauzo
āœ… Umbali: Dakika 15 kutoka Ferry, karibu na barabara kuu
āœ… Bei: Kuanzia Tsh 8 Milioni tu! Bei inafunguka
āœ… Maji na Umeme: Karibu na eneo
āœ…22,000 per 1sqm(mita ya mraba)

šŸ’” Faida ya Kununua Sasa:
Kigamboni ndio Dar es Salaam mpya. Bei zimepanda mara 3 miaka 3 iliyopita. Ukinunua leo, mwaka ujao unauza kwa faida.

#viwanjavilivyopimwa #surveyedplots #diaspora #viwanjadar