Viwanja vinauzwa Ntyuka, Dodoma



Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
📍 NTYUKA – KM 7–10 tu kutoka Dodoma Mjini
🚄 KM 3tu kutoka SGR
💰 Bei ya kuanzia TSH 1,500,000 tu
🔥 Lipa kidogo kidogo hadi miezi 10 bila presha!
📏 Tunauza viwanja vya ukubwa mbalimbali kulingana na mahitaji yako.
🏡 Ntyuka ni moja ya maeneo yanayokua kwa kasi kubwa sana kwa sasa — ndani ya muda mfupi eneo hili linatarajiwa kuwa kitovu cha makazi na uwekezaji wenye thamani kubwa.👌
📄 Maeneo yamepangwa na kupimwa na mamlaka husika
✅ Eneo linaendelea kukua kwa kasi
✅ Rahisi kufikika kutoka mjini
✅ Mchakato wa hati ni bure
📞 0681 904 388
Tembelea office zetu 📍 Mtendeni Street, Zahir Restaurant Block, Opposite na Maisha Club. 🏠✨
#viwanja# #Dodoma #ntyuka #beinafuu #malipoyaawamu











