Viwanja vinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Maelezo
π₯ VIWANJA VINAUZWA β TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BENKIπ₯
Fursa adhimu kwa makazi au uwekezaji!
π Vinapatikana viwanja 3:
β
Viwanja 2 vyenye ukubwa wa SQM 800 kila kimoja β TSh Milioni 65 kila kimoja.
β
Kiwanja 1 chenye ukubwa wa SQM 650 β TSh Milioni 35.
π‘ Vinakufaa kujenga nyumba ya makazi yenye nafasi ya kutosha, au nyumba za biashara kwa uwekezaji wenye tija.
π€ Kwa mteja aliye tayari kufanya biashara, bei inaweza kujadiliwa.
π° Malipo ya udalali ni 10% tu.
Karibu ndugu mteja, njoo uone site ili ujiridhishe na tukamilishe biashara. Hii ni nafasi nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.
π Wasiliana: +255 688 412 890
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















