Tafuta

Viwanja vinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 65,000,000

Maelezo

πŸ”₯ VIWANJA VINAUZWA – TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BENKIπŸ”₯

Fursa adhimu kwa makazi au uwekezaji!

πŸ“ Vinapatikana viwanja 3:
βœ… Viwanja 2 vyenye ukubwa wa SQM 800 kila kimoja – TSh Milioni 65 kila kimoja.
βœ… Kiwanja 1 chenye ukubwa wa SQM 650 – TSh Milioni 35.

🏑 Vinakufaa kujenga nyumba ya makazi yenye nafasi ya kutosha, au nyumba za biashara kwa uwekezaji wenye tija.

🀝 Kwa mteja aliye tayari kufanya biashara, bei inaweza kujadiliwa.

πŸ’° Malipo ya udalali ni 10% tu.

Karibu ndugu mteja, njoo uone site ili ujiridhishe na tukamilishe biashara. Hii ni nafasi nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.

πŸ“ž Wasiliana: +255 688 412 890

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!