Viwanja vya Pwani vinauzwa Kimbiji kwa Charles, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 30,000 per sqm

Aina

Beach Plot

Barabara ya Karibu

200m โ€” Main road

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara
Karibu na Bichi

Maelezo

๐ŸŒŠ๐Ÿ FURSA MPYA YA UWEKEZAJI โ€“ KIMBIJI KWA CHARLES ๐Ÿ๐ŸŒŠ
Kama unatamani kumiliki kiwanja kwenye eneo zuri, lenye upepo mwanana wa bahari na ukuaji wa kasi, basi huu ndio muda wako. Mradi mpya umefika Kimbiji kwa Charles!
๐Ÿ“ Umbali wa mita 200 tu kutoka main road
๐ŸŒŠ Mita chache sana kutoka baharini
๐Ÿ“ Bei ni Tsh 30,000 tu kwa SQM
๐Ÿ’ฐ Malipo ni mepesi kabisa:
โœ” Anza na 20% tu ya malipo
โœ” Salio unamalizia kidogo kidogo
Hii ni nafasi ya kipekee kwa anayefikiria kujenga, kuwekeza au kuweka akiba ya ardhi kwa ajili ya kesho.
Maeneo ya karibu na bahari yana thamani kubwa na yanapanda bei haraka sana.
โšก Usichelewe โ€“ nafasi ni chache na wanaowahi ndio wanafaidika!
๐Ÿ“ž+255 748 303 601
Wasiliana nasi leo utembelee site na uchague kiwanja chako.
#Kimbiji #BeachPlots #ViwanjaVinauzwa #RealEstateTanzania #Uwekezaji ArdhiNiUtajiri InvestSmart